Wakumbuka siku ambayo Mike Sonko aliwaacha Uhuru na Ruto wakiuguza mbavu kwa kicheko?

 -Sonko hapo awali alijulikana kwa kuvalia nguo za kawaida hata kwenye mikutano muhimu - Kwa siku za hivi maajuzi Sonko ameonyesha kubadilika sana kwa jinsi anavyovaa
 -Wakenya wangali wanakumbuka siku ambayo Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake walivyoshangazwa na mavazi ya Sonko.

Je wakumbuki siku ambayo Mike Sonko aliwashangaza Rais Uhuru Kenyatta, naibu wake na wageni mashuhuri kwa mavazi yake ya mtaa? 
Picha hizi zinaonyesha jinsi rais alishangazwa na suruali ndefu ya Sonko hadi akaiguza na kuonekana akiuliza naibu wake swali kuhusu suruali hiyo. Wageni wengine mashuhuri nao wanaonekana wakiwa na mshangao ilhali kila mtu alikuwa amevalia nguo rasmi, Mike Sonko alikuwa na nguo ya kawaida. 
Kuna wakati mmoja Sonko aliwashangaza na kuwafanya waague vicheko Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake kutokana na jinsi alivyokuwa amevalia kwenye mkutano wa kitaifa. Lakini hayo yote sasa yalipita na unapomtazama sasa kwa Sonko,utatii amri kuwa amebadili mno. 
Kuna wakati mmoja Sonko aliwashangaza na kuwafanya waague vicheko Rais Uhuru Kenyatta na naibu wake kutokana na jinsi alivyokuwa amevalia kwenye mkutano wa kitaifa. Lakini hayo yote sasa yalipita na unapomtazama sasa kwa Sonko,utatii amri kuwa .
Jambo hili limewafanya wengi kushangaa iwapo Sonko yuko tayari kuwa kiongozi wa jiji la Nairobi kama gavana. 
Senata huyo anatarajia kumbandua gavana wa sasa wa Nairobi katika uchaguzi mkuu ujao wa Agosti 8.Hata hivyo, Sonko ameonekana kubadili mtindo wa mavazi kwa siku za hivi maajuzi . Ameonekana mara kwa mara akiwa amevalia nguo rasmi.

Comments

Popular posts from this blog

”In my honest opinion, Raila will be your next president”- Lawyer Ahmednassir tells KTN’s Chris Thairu

Yet another IEBC official killed, dumped near her home.

The six Supreme Court judges that will decide who won between the duo i.e Uhuru and Raila (photos)